Wednesday, September 5, 2012

TBL Yatoa Msaada Wa Vifaa Vya Sh. MIl. 11 Wiki Ya Nenda Kwa Usalama

 Kamanda Mpinga akionesha stika hizo zenye ujumbe maalumu maadhimisho hayo
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia), akimkabidhi Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga sehemu ya fulana 550, kofia 200 na stika 350 kwa ajili ya maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani katika hafla iliyofanyika, Dar es Salaam jana. Vifaa hivyo vina thamani ya sh. mil. 11.

No comments:

Post a Comment