Saturday, September 1, 2012

PINDA AKUTANA NA MWALIMU WAKE


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwalimu wake, John Kasalamimba wakati walipokutana Mjini Mpanda jana, Agust 30,2012.Mwalimu Kasalamimba alimfundisha Waziri Mkuu  kuanzia mwaka 1960darasa la tatu katika Shule ya Msingi ya Kibaoni wilayani Mlele, Mpanda. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment