Friday, August 31, 2012

KUTOKA ZANZIBAR

 MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof.Idris Ahmada Rai (kushoto) akimkabidhi shahada ya uzamivu (PHD)  ya Heshima ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar.Rais mstaafu wa awamu ya tano wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,Dk.Salmin Amour Juma nyumbani kwake Migombani mjini Zanzibar.(Picha na Haroub Hussein).


 
RAIS Mstaafu wa Zanzibar,Dk.Salmin Amour Juma katikati akizungumza na Viongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) mara baada ya kumkabidhi shahada ya Uzamivu (PHD) ya Heshima ya chuo hicho,kushoto Makamu Mkuu wa SUZA,Prof.Idris Ahmada Rai  na Mjumbe wa Baraza la Chuo Mohammed Said Dimwa,katika makaazi ya Rais huyo Migombani mjini Zanzibar.(Picha na Haroub Hussein).

No comments:

Post a Comment